CHAMA CHA MWANANCHI, SOCIALIST

KENYA’S LEADING SOCIAL DEMOCRATS

Archive for June, 2007

Ndoto Ya CCM Ni Ndoto Ya Mwananchi

Posted by SG on June 29, 2007

Ndoto Ya CCM Ni Ndoto Ya Mwananchi.

Mheshimiwa Koigi wa Wamwere kupitia Makao Makuu ya CCM, 17/1/07

Kila chama huwa na sababu yake ya kuanzishwa. Kuna vyama huanzishwa kuwamilikisha matajiri, wakubwa na viongozi serikali na hatimaye mali ya nchi. Vyama vingine huasisiwa kama jukwaa la wenye kuvianzisha na bado vyama vingine huundwa ili vipiganie maslahi ya makabila fulani.

Chama cha Mwananchi au CCM kimeanzishwa kwa sababu tatu muhimu.

Kwanza, kama jukwaa la maskini kupigania maslahi yao. Pili kiwe tumbo la kufugia ndoto ya mwananchi mpaka itakapozaliwa. Tatu, CCM imeanzishwa kwa lengo la kupigania serikali ya wananchi walio wengi ambao ni maskini, wasio nacho.

Wakati mwafrika alitegemea uwindaji kwa chakula, kila mwindaji alikwenda mawindoni na mbwa wake na mbwa aliyempata mnyama ndiye aliyegawiwa sehemu kubwa ya windo lililopatikana. Zama zile hakuna aliyekwenda mawindoni bila mbwa wake.

Siku hizi vyama vya siasa pia ni mbwa wa kuwindia mamlaka na rasilimali na hakuna watu au wanasiasa wanaoingia uwanjani wa siasa bila chama au mbwa wao wa kuwindia. Wanaoingia siasani bila mbwa wao, windo likipatikana, wao ndio hupata mikia, makanyagio au hurudi nyumbani bila kitu.

Katika zama zetu, maskini na matajiri hung?eng?ania mawindo ya nchi siasani. Mpaka wa sasa tajiri amekuwa akifanikiwa katika kinyang?anyiro hiki kuliko maskini kwa sababu hwenda mawindoni na mbwa wake wakati maskini hwenda mawindoni bila mbwa wake au kama mbwa wa tajiri. Kama mbwa wa tajiri, kile anachogawiwa mawindoni mara moja huchukuliwa na tajiri wake.

Waasisi wa CCM wanataka maskini wa Kenya awe na mbwa wao wenyewe waendapo mawindoni na mbwa huyo atakuwa ni Chama cha Mwananchi. Kama mbwa wa maskini, CCM atamwindia, apiganie maslahi yake na wakati huo huo amhami maskini asidhuriwe na maadui.

Sababu ya kuundwa CCM ni kuzalisha ndoto ya maskini.

Tangu nchi yetu itekwe nyara na sisi tutawaliwe na kufukarishwa na mkoloni, ndoto yetu imekuwa ni kuupata tena utu wetu, uhuru wetu na nchi yetu. Hii ndio ndoto waliopigania, waliofungiwa, waliotesewa na kuuliwa Mau Mau pamoja na mashujaa wengine wa uhuru. Wakati tulipata uhuru, ndoto hii ilistahili itimike kwa watu wote lakini ilisalitiwa na kuzaliwa kwa watu wachache ? wasomi, viongozi na waliokuwa manyapara wa mzungu. Alipokuja Moi, usalati wa ndoto ya uhuru uliendelea kama katika wakati wa Kenyatta na unavyoendelea hadi sasa. Utawala wa kiimla wa mtu mmoja na chama kimoja ndio uliokuwa kilele cha usaliti wa ndoto ya uhuru na maskini walio wengi. Wengine walipoona usaliti huu waliamua kupigana nao na kwa miaka mingi wakastahimili, kizuizi, vifungo, kunyimwa kazi, mateso, uhamisho na vifo.

Baada ya miaka mingi ya taabu, udikteta wa Kanu ulianguka lakini ndoto ya maskini haikutimia. Ndoto ya maskini ingali bado kwa sababu, wakati wa vita vya Mau Mau, maskini alitazama waafrika wasomi,wafanyabiashara, viongozi na walioinuka kidogo wamwokoe. Hivyo hivyo wakati wa kupigana na udikteta wa Kanu, mwananchi alimtazama kiongozi na tajiri amuokoe. Maskini alipopigana katika vita vya Mau Mau na vya ukombozi wa pili, alipigana kama mbwa wa tajiri. Windo lilipopatikana
hakugawiwa kitu. Hata sasa, maskini anaposhirikishwa siasa, hasa za uchaguzi, anashirikishwa kama mbwa wa tajiri. Hana matamanio ya kupata kitu mpaka apigane akijipigania mwenyewe, aende mawindoni akiwa na mbwa wake.

CCM imeanzishwa kuendeleza vita vya ndoto ya mwananchi kuanzia pale walipoachia mashujaa wa vita vya ukombozi wa pili. Leo ni wazi kwamba kama mwananchi atapata ukombozi wake wa kiuchumi, sharti awe na chama chake mwenyewe! Chama cha Mwananchi. Vingine, mwanachi atakufa maskini kama mtegemea cha nduguye.

Itakaposhika hatamu za serikali, kazi kubwa ya CCM itakuwa ni kuvikamilisha vita walivyopigana Mau Mau na vita walivyopigana mashujaa kama J.M. Kariuki, Pio Gama Pinto, Jaramogi Oginga Odinga, Bildad Kaggia, Elija Masinde, Masinde Muliro, Bishop Muge, Ntai wa Nkurai, Karimi Ndutho na wenngine wengi.

CCM ikiunda serikali, itaumwinua na kumrudishia mwananchi utu na heshima yake. Itaunda undugu wa Wakenya wote kwa kuiua saratani ya ukabila. Itamtimizia mwananchi mahitaji yake ya kupata kazi, shamba, chakula, maji, matibabu, nguo, elimu, usalama na usafiri nafuu. Itamalizia nchi ufisadi na wizi wa mali ya umma. Itashughulikia maridhiano ya kitaifa kupitia Tume ya Haki, Ukweli na Maridhiano. Itamshirikisha mwananchi kikamilifu katika uongozi wa serikali ya nchi. itamrudishia mwafrika utamaduni na lugha zake ili asiendelee kuwa mtumwa wa mataifa ya nje. Itapigania ndoto ya kuwa na Shirikisho la Afrika Mashariki na hatimaye muungano wa Afrika nzima.

Kimtazamo, ndoto ya CCM ndio ndoto ya nchi, ndoto ya walio wengi, ndoto ya uhuru na ndoto ya Mungu alipomuumba mtu na kumueka duniani afurahie matunda yake.

Tusipoipigania ndoto hii ya CCM, sisi tuliopigania uhuru wa pili na babo tuna nguvu, tutakuwa tumejisaliti wenyewe, tumemsaliti Mungu, nchi, Mau Mau, mashujaa wote wa uhuru wa pili, wananchi na watoto wetu na hakuna atakayetusamehe.

Bila shaka, ndoto hii itapingwa na wengi wasiomtakia mwananchi wa kawaida mema. Tunajua wataibatiza maneno mengi maovu ya kuikashifu. Lakini kama Martin Luther King Jr. alivyosema: lazima tutashinda! We shall overcome.

Mheshimiwa Koigi wa Wamwere kupitia Makao Makuu ya CCM, 17/1/07

Posted in News | Leave a Comment »

“Saviour”! Go back to active politics

Posted by SG on June 16, 2007

Posted in Articles | Leave a Comment »

Narc-Kenya and ODM are two sides of same coin

Posted by SG on June 13, 2007

Narc-Kenya and ODM are two sides of

same coin

Narc-Kenya and ODM are two sides of same coin By Koigi wa Wamwere Among the country’s three most potent parties; Chama cha Mwananchi (CCM), Narc-Kenya and ODM-Kenya; CCM is the best.First, the names ODM-Kenya and Narc-Kenya mean nothing, while Chama cha Mwananchi means “party of the ordinary person”, the have-not, not mwenyenchi, the rich. No church or mosque is without a Bible or Koran to proclaim its faith.

Equally, no serious political party is without a manifesto to enunciate policy, ideology and goals. Accordingly, CCM has a manifesto through which it is asking Kenyans to join it. But ODM-Kenya and Narc-Kenya do not. They ask Kenyans to join them by propagating “party of our tribe”, “the President will be our candidate” and like the Chinese of old, we must follow the emperor wherever he goes; even to his grave. Only the suicidal join a party without a manifesto. 

Parties propagate elitism

In its manifesto, CCM’s ideology or guiding light is democratic socialism or equitable distribution of land and national wealth. When it comes to power, CCM will eradicate poverty, make the stinking rich less so and lift the poor above the poverty line. Without a manifesto, ODM-Kenya and Narc-Kenya have no ideology and are vehicles without headlights.

You ride them at your own risk. CCM seeks equality of all in economic status and party membership. None of its members is less or more equal than others on account of tribe or wealth. Unlike CCM, ODM-Kenya has “luminary” members who are more equal than others. Similarly, Narc-Kenya has membership categories based on money; they range from platinum Sh 125,000 and golden Sh100,000 to bottom-class members of Sh10. The latter cannot compete for party nominations with sitting MPs who are the unchallenged party leaders in every constituency except Subukia. Married to inequality, the two parties cannot consolidate democracy. 

 But as a party of the poor, CCM champions democracy and when it comes to power, it will form a government of the poor, by the poor and for the poor. Hitherto, governments have been of the rich, by the rich and for the rich. After decades of plutocracy, it is time for rule by the poor. By incorporating the poor into Government and the economy, CCM will humanise the rich and the poor.  

Animal farm analogy puzzling Why don’t Narc-Kenya and ODM-Kenya have manifestos yet they are older than CCM? Because they are animal farms of misguided sheep and goats together with lions, hyenas, leopards and other meat eaters, but are ruled by old, foxy and young carnivores whose only claim to the presidency is that they are younger and stronger meat-eaters.

Though ODM-Kenya carnivores and herbivores are united against President Kibaki, hyenas cannot agree to stop eating herbivores after victory. Unless ODM lions agree on a formula to eat sheep, renounce meat eating, which they never will, or herbivores surrender, the party will never have a manifesto their government can implement. Instead, they will choose a no-party manifesto situation where there will be a “yote yawezekana under ODM-Kenya”( everything is possible) that will be easy to betray without repercussions. The alternative will be unenforceable personal “visions”. Home to innocent sheep and vicious hyenas and foxes, Narc-Kenya cannot craft a party manifesto that can protect the interests of the corrupt and their victims. 

Narc-Kenya rooting for dictatorship

To avoid transforming Kenya into a better and more equitable society, they have made Kibaki their manifesto in the hope that people’s appreciation of his Government’s achievements will excuse them from having a manifesto. Instead, they ask Kenyans to give them a blank cheque on which they can write anything for themselves or the people.   

By Hon. Koigi Wa Wamwere. Published by CCM Editorial

Posted in Articles | Leave a Comment »

comments from MaasaiWarrior

Posted by SG on June 13, 2007

Posted by MaasaiWarrior on June 11th, 2007

You said:
Waao what a fantastic idea!! female poor Children in Kenya refuse to go to school almost one week every month because of lack of a sanitary pad!!! believe it or not but many children do not even afford a pant leave alone a sanitary pad!! Imagine a person coming up with an idea that provides poor girls with a simple sanitary pad? and probably a pair of underwears?
This is the naked reality in our society right now. Thank you so much MRS. Nduta Koigi!! You have made us even hear in Sweden soo much proud and moved!! I personaly pray that you will keep up the spirit and continue with the sanitary pads program because if you take care of our children they will grow to take care of you when you get old. When they can go to school and learn, then we will all have a promising future as Kenyans. Hongera once again.
Ole Ngais Jeff Sweden.
www.maasaiwarrior.wordpress.com
Added 24 minutes ago

Posted in comments | No Comments »

Posted in Archives | Leave a Comment »

Comments from Secretary General

Posted by SG on June 13, 2007

Posted by Dick Kamau on June 11th, 2007

What a wonderful country this could be if we all think and act for our poor who cannot even aford a pad each month? Thanks Mrs Nduta Koigi you have proved that there is someone out there who cares for our daughters. Men, where are you and what the hell are you doing out there? We surely need more positive women in our politics to have meaningful programs for our children. CCM is proud of you Nduta.By Dick Kamau.Secretary General Chama Cha Mwananchi -www. chamachamwananchi.wordpress.comPosted in comments | No Comments »

Posted in Archives | Leave a Comment »

Narc-Kenya and ODM are two sides of same coin

Posted by SG on June 13, 2007

Narc-Kenya and ODM are two sides of same coin

 By Koigi wa Wamwere

Among the country’s three most potent parties; Chama cha Mwananchi (CCM), Narc-Kenya and ODM-Kenya; CCM is the best.

First, the names ODM-Kenya and Narc-Kenya mean nothing, while Chama cha Mwananchi means “party of the ordinary person”, the have-not, not mwenyenchi, the rich. No church or mosque is without a Bible or Koran to proclaim its faith. Equally, no serious political party is without a manifesto to enunciate policy, ideology and goals.

 Accordingly, CCM has a manifesto through which it is asking Kenyans to join it. But ODM-Kenya and Narc-Kenya do not. They ask Kenyans to join them by propagating “party of our tribe”, “the President will be our candidate” and like the Chinese of old, we must follow the emperor wherever he goes; even to his grave. Only the suicidal join a party without a manifesto. 

Parties propagate elitism

In its manifesto, CCM’s ideology or guiding light is democratic socialism or equitable distribution of land and national wealth. When it comes to power, CCM will eradicate poverty, make the stinking rich less so and lift the poor above the poverty line. Without a manifesto, ODM-Kenya and Narc-Kenya have no ideology and are vehicles without headlights. You ride them at your own risk.

CCM seeks equality of all in economic status and party membership. None of its members is less or more equal than others on account of tribe or wealth. Unlike CCM, ODM-Kenya has “luminary” members who are more equal than others. Similarly, Narc-Kenya has membership categories based on money; they range from platinum Sh 125,000 and golden Sh100,000 to bottom-class members of Sh10. The latter cannot compete for party nominations with sitting MPs who are the unchallenged party leaders in every constituency except Subukia. Married to inequality, the two parties cannot consolidate democracy.

 But as a party of the poor, CCM champions democracy and when it comes to power, it will form a government of the poor, by the poor and for the poor. Hitherto, governments have been of the rich, by the rich and for the rich. After decades of plutocracy, it is time for rule by the poor. By incorporating the poor into Government and the economy, CCM will humanise the rich and the poor. 

 Animal farm analogy puzzling

Why don’t Narc-Kenya and ODM-Kenya have manifestos yet they are older than CCM? Because they are animal farms of misguided sheep and goats together with lions, hyenas, leopards and other meat eaters, but are ruled by old, foxy and young carnivores whose only claim to the presidency is that they are younger and stronger meat-eaters. Though ODM-Kenya carnivores and herbivores are united against President Kibaki, hyenas cannot agree to stop eating herbivores after victory.

Unless ODM lions agree on a formula to eat sheep, renounce meat eating, which they never will, or herbivores surrender, the party will never have a manifesto their government can implement. Instead, they will choose a no-party manifesto situation where there will be a “yote yawezekana under ODM-Kenya”( everything is possible) that will be easy to betray without repercussions.

The alternative will be unenforceable personal “visions”. Home to innocent sheep and vicious hyenas and foxes, Narc-Kenya cannot craft a party manifesto that can protect the interests of the corrupt and their victims. 

Narc-Kenya rooting for dictatorship

To avoid transforming Kenya into a better and more equitable society, they have made Kibaki their manifesto in the hope that people’s appreciation of his Government’s achievements will excuse them from having a manifesto. Instead, they ask Kenyans to give them a blank cheque on which they can write anything for themselves or the people.  

Posted in Articles | Leave a Comment »

ILANI YA CHAMA CHA MWANANCHI(Manifesto]

Posted by SG on June 13, 2007

ILANI YA CHAMA CHA MWANANCHI – CCM (Manifesto)

 UHURU, HAKI, USAWA NA UAMINIFU

UANACHAMA

CCM ni chama cha wananchi walioonewa na kunyayaswa sio mabweyenye wanyoyaji.

CCM ni chama cha wakenya wote, sio cha kabila au makabila fulani.

CCM si shamba la wanyama, wanachama wake wote ni sawa.

CCM ni ngome ya kondoo na wala nyasi wote. Haikubali masimba, mafisi na mabweha zizini.Mafisadi, wezi, madikteta, watesi na wasaliti wa nchi wote ni marufuku chamani. 

Kauli Mbiu.

Mwanzo Mpya.

Watu WapyaKenya Mpya. 

Itikadi – Taa ya CCM ni Ujamaa na democrasia. 

1 – CCM itatawala kwa mjibu wa sheria za haki na kanuni za demokrasia. 

2- CCM itawapa wananchi wenye umri mdogo wendelevu na wazalendo nafasi ya kupaa uongozini wa nchi. 

3 – Daima CCM itapinga udikteta na itapigania katiba Mpya itakayo futa mizizi ya uimla na kusimamia maslahi na haki za Wakenya wote. 

4 – Serekali ya CCM itatetea haki zote za binadamu. 

5 – CCM itarejesha maridhiano miongoni mwa Wakenya kwa kuunda Tume ya Ukweli, Haki na Maridhiano kuchunguza madhambi yote waliofanyiana Wakenya ili kuomba wasameheane. 

6 – Ndoto ya CCM ni kufanya Kenya nchi iliyoendelea kiuchumi. 

7 – CCM itakuza uchumi unaomilikiwa na Wakenya sio wageni. 

8 – CCM itazingatia maendeleo ya wasio nacho ya kufuta umaskini, maradhi, jaa na upofu wa kiakili, sio maendeleo ya walio nacho, viongozi na matajiri. 

9 – CCM itapigania ugavi wa mali ya nchi unaolenga kumtimizia mwananchi mahitaji yake ya lazima, chakula, nyumba, elimu, matibabu, usafiri…… 

10 – Serikali ya CCM itatoa bila malipo elimu ya msingi, upili, vyuo vya ufundi na taasisi za utafiti kama msingi wa maendeleo yanayotengemea teknolojia. 

11 – CCM itawaomba Wakenya waliong’ambo warudi nyumbani wasaidie kunjenya nchi upya bila kupoteza uraia mwingine. 

12 – CCM itamaliza wizi wa mali za umma na serikali kwa kuwafunga wote watakaopatikana na ufisadi. 

13 – CCM itashitaki mafisadi warudishe pesa walizopora na kuweka nje, na kushitaki katika Mahakama ya Dunia, serikali ya Uingereza ilipe Kenya, Mau Mau na na mashujaa wengine wa uhuru hasara iliyowapatiliza vitani vya uhuru. 

14 – CCM itakuza maendeleo katika sehemu zote za nchi. 

15 – Chini ya CCM walio nyuma na walio mbele watakuwa sawa. 16 – CCM itahakikisha uchumi unatolea wasio na kazi ajira na wafanyikazi mishahara bora na haki. 

17 – CCM italinda maslahi ya wafanyabiashara wadogo kama vile wachuuzi, wapiga viatu rangi, bodaboda, jua kali na kina mama wa sokoni. 

18 – CCM itahakikisha wakulima hawapunjwi jasho lao. 

19 – CCM itahakikisha mashamba makubwa zaidi yanapunguzwa na yale hayalimwi yanatwaliwa ili yapewe maskuota na wakazi wa miji ya mabanda. 

20 – CCM itahakikisha waathirika wa vita vya kikabila wamepewa mashamba na makao.

21 - Serikali ya CCM itarudisha, kuhifadhi na kupanua misitu na kustawisha utalii kwa kujenga barabara za lami mbugani zetu za wanyama. 

 22 – CCM itaunganisha nchi kwa misingi ya usawa, uzalendo na utaifa. 

23 – CCM itaharamisha ukabila na ubaguzi wake. 

24 – Serikali ya CCM itagawa kazi, raslimali na wizara kwa mujibu wa sifa, haki na uhitaji badala ya ukabila, ukoo, familia na urafiki. 

25 – Serikali ya CCM itahakikisha popote waishipo Wakenya watakuwa sawa na wasioishi katika makazi yao ya jadi hawatabaguliwa tena na serikali kuu, serikali za mitaa na kundi lolote la kisiasa. 

26 – Badala ya majimbo, CCM itatetea Jumuiya ya Afrika Mashariki kuwa nchi na serikali moja ya Afrika Mashariki. 

27 – CCM itapiga marufuku ubaguzi wowote wa kijinsia. 

28 – CCM itakataa ubaguzi wote wa kidini. 

29 – CCM itatetea maadili ya uandishi yatakayo fanya vyombo vyetu vya habari viwe vya watu zalendo, endelevu, sahihi na maadui wa ukabila na ufisadi. 

30 – Kiswahili ndicho lugha rasmi ya CCM. 

31 – CCM itanjenga uhusiano wa kiamani na kirafiki na nchi zote za Afrika na dunia, ambazo hazina ugomvi na Kenya. 

Kateni Minyororo ya Utumwa

Vunjeni Nira za Dhuruma

Piganieni Uhuru wa Walionyanyaswa. Kama we Mwananchi jiunge na CCM. 

 Malipo ya uanachama ni shilingi kumi pekee.   

 Kama upo nchini unaweza  kujiunga na CCM kupitia  ofici za CCM nchini na pia kwa kumuandikia barua pepe  Katibu Mkuu ukiwa unaishi nje ya nchi. Tumia njia hizo kupitia anuani, simu na email za chama. Pia kupitia nafasi hii upo sasa unaweza kutuandikia na tukawasiliana nawe kwa maelezo zaidi au kujibu swali lako. 

(Secretary General) – Tel  +254 727 209597.

Secretariat +254 020 2012 578.

Head Office, Secretariat; Down Town Towers, 7th floor, Duruma rd. Nairobi.

P.OBOX 68148 – 00200 Nairobi Kenya.

Barua pepe – Email chamachamwanachiccm@yahoo.com   

KARIBU CCM.

Maadishi haya yanaweza kutumiwa kwa mjibu wa kuendeleza demokrasia.

Tujulisha tu.

Posted in Party Manifesto | Leave a Comment »

Speech at the Official Launch of CCM

Posted by SG on June 10, 2007

Speech at the Official Launch of CCM At Korogocho

Football Field on 2nd March, 2007

 First, we thank all who came for this official launch of Chama cha  Mwananchi, a party that Honorable Kivutha Kibwana and Danson  Mungatana and like minded money bags have ridiculed as “Chama cha  Maskini” or “Party of the Poor”. Yes, they have called us “Chama cha  Maskini.”  We accept. Majority of Kenyan people are poor. They have also  called CCM Chama cha Mapinduzi or “Party of the Revolution” and we  accept. We need a democratic revolution to overthrow our poverty and its  mother system. 

 Whose party is CCM? 

 CCM is a party of ordinary Kenyans that suffer discrimination, oppression  and exploitation, increasing the number of our poor by the day and the year.  CCM is a party of the poor that need and don’t have a voice in the higher  ranks of our current parties and government.  CCM is a party of all ordinary Kenyans and not that of a particular tribe or  tribes.   

 Why have we formed CCM when there are other parties already? 

 We formed CCM for the following reasons: Give voice to poor wananchi who need and don’t have one to fight for them. Fight for the poor whose number is increasing daily because parties of the  rich and intellectuals only pay lip service to the eradication of poverty. Fight poverty that is the biggest foe of our people and country. Rescue our economy from foreign ownership and control. Since independence, all our parties, governments and good life have  belonged to the rich. We have formed CCM as an instrument of reversing  the unfair order of things. We believe time has come for ordinary people to  have their own party that will some day soon form a government whose  primary goal will be to solve crippling problems of poor people and not help  the wealthy get richer.  

Why have we come to Korogocho to launch CCM?

 Rather than go to Grand Regency, Safari Park or Bomas of Kenya to launch  Chama cha Mwananchi, we have come to Korogocho because CCM is a  party of the poorest of the poor who live in the slums of Korogocho, Kibera,  Mathare, Bondeni, Kawangware, Kiamaina, Land Panya and other slums  and rural villages of our country. As a party of the people, it would have been laughable to launch CCM at  Muthaiga or Lavington where the stinking rich live. Members of CCM live  live in Korogocho not Muthaiga. CCM could only be launched at  Korogocho.    

And why do we launch CCM on 2nd March, the J.M Kariuki Day?

  We are launching CCM on J.M. Kariuki Day because JM is our patron saint  and CCM’s only task will be to complete JM’s dream of liberating the poor.  We still remember that JM was killed for saying no to a Kenya of ten  millionaires and ten million beggars. Were he alive today, he would say to a  Kenya of 34 billionaires and 34 million beggars. In fighting to eradicate poverty, CCM will also be fighting to fulfill the  dream of Mau Mau, Elijah Masinde, Mekatilili wa Menza, Koitalel arap  Samoe, Pio Gama Pinto, Jaramogi Oginga Odinga, Bishop Muge, Karimi  Nduthu, Titus Adungosi, Bildad Kaggia and all our other heroes and  heroines that died that we be free and live well. 

 Who is welcome to own and build CCM?   

The 27 million Kenyans who are poor and destitute or middle class but live  on the edge and fear of slipping over precipice and plunging into the abyss  of poverty. 17 million Kenyans who depend on chance for their daily bread. All those to whom clean water remains a dream. All those who live with treatable diseases for lack of money to buy medicine. Workers that are paid less than 200 shillings a day. Parents whose children miss secondary school education for lack of school fees. Unemployed who lack both work and land. All who dwell in our miserable slums. Hawkers, shoe shiners, market women and all who have no freedom to do their small businesses. Unsettled victims of ethnic clashes. Those who suffer discrimination because they live in our internal diasporas  and are not identifiable as this or that ethnic community. Mau Mau and other freedom fighters that live in poverty like the family of  Dedan Kimathi. And Kenyans who live in areas of little or no development at all. But as CCM welcomes so many, it bars as members or candidates those who  are thieves, corrupt, dictators, torturers, violators of human rights and  propagators of ethnic hate.  

What kinds of poverty will CCM fight?  

We shall fight poverty that afflicts the body like lack of food, clothing,  medicine, water and decent shelter. We shall fight the poverty of lacking human values that make us human  beings that respect and not seek to oppress others. Above all we shall fight mental blindness and slavery of the mind that makes  the poor tolerate poverty, some fight their own emancipation and deny the  poor the will to remove the noose of poverty from their own necks.  What is the mission of CCM?  We proclaim the mission of CCM is to remove the chains of slavery, break the  yokes of oppression and let the downtrodden poor go free. When CCM comes to power, rather than the police arrest people  who have lost the way or are drunk, they shall show them the way and escort  them home. Once in power, CCM government shall reduce salaries that are too high like  those of MPs, government ministers, presidents, managing directors of state  and private companies and CEOs of NGOs in order to raise money for the  support of those who cannot afford a meal a day.   CCM government shall also restore price control for among others  essential commodities like maize flour, milk, medicine, bread, paraffin, fares  and reduce huge farms of a few individuals and families, foreign and  Kenyan in order to find land for the landless squatters and slum dwellers to  build homes, grow food and bury their dead. Finally CCM shall not hesitate to arrest, prosecute and jail the corrupt, big  and small, that we see crisscrossing our cities and countryside seeking votes  to become our presidents, MPs and councilors, God help us. 

 What shall be CCM’s primary duty?   

CCM’s primary duty shall be to fight against the biggest enemies of our  people and country which are the ever increasing corruption that kills poor  people daily, exploitation of paying people salaries that buy  nothing, prices that are forever going up, poor pay for agricultural products,  negative ethnicity that pits the poor one against another and poverty that  breeds hunger, disease and mental blindness for the poor. 

  Why does CCM want the poor to wage their own struggle?  

If the poor are the backbone of rich man’s political parties, why can’t they  be the backbone of their own party? If it is the sweat of the poor that creates wealth for the rich, why can’t it  create wealth for the poor? If it is the votes of the poor that enthrone the rich into government, why  can’t the poor vote their own government into power?  If the poor have been so good at dying for the interests of their ethnic  leaders, why can’t they use their superior numbers to champion their own  interests? 

 And is it true that saving the poor is a pipe dream and a utopia that will  never be?

  Liberation of the poor is not a pipe dream. In Scandinavian countries of Norway, Sweden and Denmark, people have  achieved the dream of liberating the poor. We too can if we can begin to  punish corruption. In the small island of Cuba, no more endowed with natural resources than  Kenya, people have achieved the dream of liberating the poor. We too can if  vote out of power our corrupt leaders. In China, the country with the biggest population in the world, people have  achieved the dream of saving the poor. We too can if we can first liberate  our minds from slavery.  In Britain, our yesteryear colonizers, people have achieved the dream of  feeding the families of the unemployed. We too can if we can end foreign  ownership of our economy. In Japan and Malaysia, people have achieved the dream of employing and  instilling patriotism in nearly everyone. We too can if we can stop relying on  our very exploiters for our development.  

What must the poor do to self-liberate?  

To self-liberate the poor must have faith and confidence they can self-liberate. The poor must stop believing in the emasculating propaganda of those that want to enslave them perpetually.  The sheep must not look up to the lion, the hyena and the fox  to save him. The poor must think more about their own problems than those of their leaders. The poor must think hard of solutions to their problems and not take  futile refuge in religion, sport, music and alcohol.  What is our enemy society?    Unfortunately ours has become a jungle society. The strong eat the weak.Grass eaters are meals of meat eaters. A brutish system has created a society of brutes. We look after our own. No one looks after the other. The exploiter eats the exploited. The poor is food for the rich. Ours is no longer a society of humans but wildlife. We survive by the sharpness of our teeth and length of our claws. CCM urges we create a human society. To survive, the weak must unite. We must replace the system of exploitation with a system that liberates. Ours must be a system of democracy and socialism. We must be our brother’s keeper. The rich must not again eat the poor. Every one must be a brother not the food of the other.   What patriotism does CCM believe in?  CCM believes Kenya is one. Kenyans are one people. To preserve Kenya, CCM believes it must fight tribalism with all its might.   To keep Kenya from disintegrating, CCM opposes majimboism with all its  might. Kenya must not be allowed to go up in flames like Rwanda, Somalia, Liberia  or Yugoslavia.

  Why must the rich embrace the liberation of the poor?  

Ultimately security of the rich depends upon salvation of the poor. If the rich puts the poor in the prison of hunger, The poor will put the rich in the prison of terror. We must heed the advice of the American President John F. Kennedy: A government unwilling to help the poor cannot protect the rich. A poor man’s freedom from hunger is a rich man’s security.  Is CCM not a communist party?  By preaching equality, some will say CCM is propagating communism. But the equality of CCM is nothing but pure humanism, pure Godliness. God created humans to share his bounty. However much the economy grows, If it does not eliminate poverty, It will not be people’s economy, It will be an economy of hyenas. The challenge is not in catching “numbi”, but sharing him out.  Kenya needs new people, To give our country a new beginning, That will create a new Kenya, without dirt, greed or mental slavery.  The poor of all tribes must unite. Their needs are the same. Their problems are the same. Indeed their tribe is one, the tribe of the poor. In CCM, the poor join hands, In unity there will be nothing to lose, but the chains that bind you.  Hon. Koigi wa Wamwere MP.

Published by the editorial board CCM  june 2007.   

Posted in Speeches | Leave a Comment »

Note from the Secretary General

Posted by SG on June 10, 2007

The secretary general of chama cha mwananchi ccm welcomes you to our newly launched blog.

This blog has a political dimension. All progressive views and suggestions based on positive social cultural, political change and development in Kenya are welcome.

On behalf of the party, I take this opportunity to say
KARIBU

Posted in political | Leave a Comment »