THOUSANDS OF KENYANS KILLED SILENTLY Nearly all Kenyan politicians are guilty of murder. CONSIDER THE FOLLOWING BEFORE YOU SAY YES OR NO TO WHATEVER THESE LEADERS WANT DONE. A few citizens know that whenever or wherever a few people wish to control and direct a mass of humanity, there are certain key structures that have … Continue reading
Propaganda Na Vita Vya Katiba Mpya Vile tunavyokaribia kupigia katiba mpya kura ya uamuzi, Dhamiri ya Sauti ingetaka kuwatahadharisha Wakenya kwamba vita vya ndio na la kwa katiba mpya havitapiganwa kwa ukweli, vitapiganwa kwa propaganda. Lakini propaganda ni kitu gani? Kwa kifupi, propaganda ni habari za uongo au nusu ukweli zinazofanywa zionekane kama ukweli na … Continue reading
By Dick Kamau If I do not support any religion inclussion in the constitution of Kenya its because all religions are cultic and tends to threaten and intimidate. No doubt Kenyan leaders are cultic and as do cult leaders they have become a threat to the liberation of the poor. They are part of the … Continue reading
BY KOIGI WAMWERE OF CHAMA CHA MWANANCHI Dhamiri Ya Sauti Ya Mwananchi Inasema La Kwa Katiba Mpya Isiyosawazisha Watu, Tabaka, Wala Dini Ijapokuwa Dhamiri inaunga mkono dhana ya katiba mpya, hailii, bora katiba mpya. Inalilia katiba mpya bora. Ili tupate katiba mpya bora, nchi hii ilihitaji na bado inahitaji mjadala wa kitaifa utakaochangiwa na kila … Continue reading
Recent Comments